• HABARI MPYA

    Thursday, August 20, 2020

    CHAMA ALIPOWAONGOZA WACHEZAJI WENZAKE SIMBA SC KUTOA MISAADA SHULE YA UHURU MCHANGANYIKO LEO

    Kiungo nyota wa Simba SC, Mzambia Clatous Chama akiwa na mmoja wa wanafunzi wa shule ya Uhuru Mchanganyiko katika ziara ya kikosi cha timu hiyo leo kuwakabidhi misaada 
    Wachezaji leo wametembelea shule ya Uhuru Mchanganyiko na kupata nafasi ya kuongea nao na kukabidhi misaada  
    Hii ndiyo misaada iliyotolewa na klabu hiyo kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHAMA ALIPOWAONGOZA WACHEZAJI WENZAKE SIMBA SC KUTOA MISAADA SHULE YA UHURU MCHANGANYIKO LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top