Kiungo mshambuliaji, Haroun Othman Chanongo akishangilia baada ya kuifungia Mtibwa Sugar bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza Dodoma Jiji FC 3-2 katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa CCM Gairo, Morogoro jioni ya leo. Mabao mengine ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Dickson Job dakika ya 42 na Boban Zilntusa dakika ya 67 kwa penalti, wakati ya Dodoma FC yalifungwa na Anuary Jabir dakika ya 15 na Dickson Ambundo dakika ya 25
Simone Biles reveals terrifying health scare and says she 'almost died' in
hospital this week
-
In a post on her story, alongside a photo of her wearing several hospital
wristbands, she wrote: 'I'm not one to normally share things like this
because I ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment