Kiungo mshambuliaji, Haroun Othman Chanongo akishangilia baada ya kuifungia Mtibwa Sugar bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza Dodoma Jiji FC 3-2 katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa CCM Gairo, Morogoro jioni ya leo. Mabao mengine ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Dickson Job dakika ya 42 na Boban Zilntusa dakika ya 67 kwa penalti, wakati ya Dodoma FC yalifungwa na Anuary Jabir dakika ya 15 na Dickson Ambundo dakika ya 25
Vikings QB J.J. McCarthy dispels notion that he'd want trade before season:
'This is where I want to be'
-
McCarthy started 10 games last season, his second in the NFL, but now the
2024 No. 10 overall pick is competing for Minnesota's QB1 job with Kyler
Murray.
56 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment