Kiungo mshambuliaji, Haroun Othman Chanongo akishangilia baada ya kuifungia Mtibwa Sugar bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza Dodoma Jiji FC 3-2 katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa CCM Gairo, Morogoro jioni ya leo. Mabao mengine ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Dickson Job dakika ya 42 na Boban Zilntusa dakika ya 67 kwa penalti, wakati ya Dodoma FC yalifungwa na Anuary Jabir dakika ya 15 na Dickson Ambundo dakika ya 25
Australian Grand Prix LIVE: Lap-by-lap updates as the biggest rule changes
in F1 history are put to the test in Melbourne
-
Daily Mail Sport's live blog brings you lap-by-lap updates as the biggest
changes in F1 history are put to the test at the Australian Grand Prix.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment