Kiungo mshambuliaji, Haroun Othman Chanongo akishangilia baada ya kuifungia Mtibwa Sugar bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza Dodoma Jiji FC 3-2 katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa CCM Gairo, Morogoro jioni ya leo. Mabao mengine ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Dickson Job dakika ya 42 na Boban Zilntusa dakika ya 67 kwa penalti, wakati ya Dodoma FC yalifungwa na Anuary Jabir dakika ya 15 na Dickson Ambundo dakika ya 25
💪Gustavo Del Prete becomes San Lorenzo’s new signing
-
Forward Gustavo Del Prete has agreed to join San Lorenzo until December
2027. The 30-year-old attacker arrives as a free agent after his stint in
Mexican f...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment