• HABARI MPYA

    Sunday, August 30, 2020

    AZAM FC YALAZIMISHWA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA TANZANIA PRISONS LEO CHAMAZI

    Mshambuliaji wa Azam FC, Richard Ella D'jodi akitafuta maarifa ya kumtoka beki wa Tanzania Prisons katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 1-1, Prisons wakitangulia kwa bao la Jeremiah Juma kabla ya Mzambia Obrey Chirwa kuisawazishia Azam FC 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YALAZIMISHWA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA TANZANIA PRISONS LEO CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top