Mshambuliaji Andrew Simchimba akishangilia baada ya kuifungia Azam FC bao la ushindi dakika ya 66 ikiwalaza Namungo FC 2-1 katika mchezo wa kirafiki kwenye kilele cha Tamasha la Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Azam FC ilitangulia kwa bao la Mzambia Obrey Chirwa dakika ya 37 kabla ya Mghana Steven Sey kuisawazishia Namungo FC dakika ya 57.
💪Gustavo Del Prete becomes San Lorenzo’s new signing
-
Forward Gustavo Del Prete has agreed to join San Lorenzo until December
2027. The 30-year-old attacker arrives as a free agent after his stint in
Mexican f...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment