• HABARI MPYA

    Sunday, August 23, 2020

    AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO 2-1 CHAMAZI KWENYE MCHEZO WA KIRAFIKI KUTAMBULISHA KIKOSI NA JEZI ZA MSIMU MPYA

    Mshambuliaji Andrew Simchimba akishangilia baada ya kuifungia Azam FC bao la ushindi dakika ya 66 ikiwalaza Namungo FC 2-1 katika mchezo wa kirafiki kwenye kilele cha Tamasha la Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Azam FC ilitangulia kwa bao la Mzambia Obrey Chirwa dakika ya 37 kabla ya Mghana Steven Sey kuisawazishia Namungo FC dakika ya 57.‬
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO 2-1 CHAMAZI KWENYE MCHEZO WA KIRAFIKI KUTAMBULISHA KIKOSI NA JEZI ZA MSIMU MPYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top