Mshambuliaji Andrew Simchimba akishangilia baada ya kuifungia Azam FC bao la ushindi dakika ya 66 ikiwalaza Namungo FC 2-1 katika mchezo wa kirafiki kwenye kilele cha Tamasha la Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Azam FC ilitangulia kwa bao la Mzambia Obrey Chirwa dakika ya 37 kabla ya Mghana Steven Sey kuisawazishia Namungo FC dakika ya 57.
Beijing urges end to Iran war as China-U.S. trade talks move to Paris
-
Investing.com — Wang Yi, China’s top diplomat, used his annual high-profile
briefing on Sunday to signal that a "landmark" year for U.S.-China
relations re...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment