Mshambuliaji Andrew Simchimba akishangilia baada ya kuifungia Azam FC bao la ushindi dakika ya 66 ikiwalaza Namungo FC 2-1 katika mchezo wa kirafiki kwenye kilele cha Tamasha la Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Azam FC ilitangulia kwa bao la Mzambia Obrey Chirwa dakika ya 37 kabla ya Mghana Steven Sey kuisawazishia Namungo FC dakika ya 57.
Vikings QB J.J. McCarthy dispels notion that he'd want trade before season:
'This is where I want to be'
-
McCarthy started 10 games last season, his second in the NFL, but now the
2024 No. 10 overall pick is competing for Minnesota's QB1 job with Kyler
Murray.
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment