Mshambuliaji Andrew Simchimba akishangilia baada ya kuifungia Azam FC bao la ushindi dakika ya 66 ikiwalaza Namungo FC 2-1 katika mchezo wa kirafiki kwenye kilele cha Tamasha la Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Azam FC ilitangulia kwa bao la Mzambia Obrey Chirwa dakika ya 37 kabla ya Mghana Steven Sey kuisawazishia Namungo FC dakika ya 57.
Leeds United Face Stern Competition To Sign €80M Player: Why Should Farke
Walk Away?
-
Daniel Farke wants a proper, commanding centre-back with a genuine
top-flight pedigree to anchor Leeds United’s backline back in the Premier
League. Ousman...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment