• HABARI MPYA

    Monday, August 24, 2020

    MAREFA WANAOSHIRIKI KOZI MAALUM YA FIFA SASA WAHAMIA KWENYE MAZOEZI YA UTIMAMU WA MWILI

    Refa akikimbia Uwanja wa Mkapa Jijini Dar e Salaam kwa ajili ya mazoezi ya Utimamu wa mwili ikiwa ni sehemu ya Kozi ya Waamuzi ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) MA inayoshirikisha waamuzi 34 kutoka Tanzania Bara na Zanzibar,, mafunzo yke yakitolewa kwa njia ya mtandao kupitia Zoom.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAREFA WANAOSHIRIKI KOZI MAALUM YA FIFA SASA WAHAMIA KWENYE MAZOEZI YA UTIMAMU WA MWILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top