• HABARI MPYA

    Saturday, August 29, 2020

    KOCHA MPYA, ZLATKO AWASILI DAR TAYARI KUSAINI MKATABA NA KUANZA KAZI YANGA SC

    MSERBIA Zlatko Krmpotic akiwa na Ofisa Habari wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli baada ya kuwasili Dar es Salaam leo kutoka kwao Yugoslavia kwa ajili ya kusaini mkataba wa kuwa kocha mpya wa klabu hiyo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA MPYA, ZLATKO AWASILI DAR TAYARI KUSAINI MKATABA NA KUANZA KAZI YANGA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top