Mshambuliaji Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la tatu dakika ya 39 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Reading kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London leo akitimiza miaka mitano tangu ajiunge na klabu hiyo. Nyota huyo wa Korea Kusini alijiunga na Spurs tarehe na mwezi kama wa leo mwaka 2015 kutoka Bayer Leverkusen. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Omar Richards aliyejifunga dakika ya saba, Dele Alli dakika ya 21, Erik Lamela dakika ya 52, wakati la Reading limefungwa na George Puscas kwa penalti dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beijing urges end to Iran war as China-U.S. trade talks move to Paris
-
Investing.com — Wang Yi, China’s top diplomat, used his annual high-profile
briefing on Sunday to signal that a "landmark" year for U.S.-China
relations re...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment