Nahodha wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 33 na 67 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Norwich City, mabao mengine yakifungwa na Granit Xhaka dakika ya 37 na Cedric Soares dakika ya 81 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Emirates. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 46 baada ya kucheza mechi 32 na kupanda kutoka nafasi ya 11 hadi ya saba sasa ikizidiwa pointi sita na Wolverhampton Wanderers PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liam Rosenior hits out at referee for his invasion of Chelsea's pre-match
huddle after he REFUSED to move and blames bizarre incident for his side
not getting a penalty in Newcastle defeat
-
Rosenior pledged to contact the PGMOL after the utterly bizarre scenes at
Stamford Bridge when the Blues' players surrounded Tierney, who refused to
shift ...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment