Nahodha wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 33 na 67 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Norwich City, mabao mengine yakifungwa na Granit Xhaka dakika ya 37 na Cedric Soares dakika ya 81 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Emirates. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 46 baada ya kucheza mechi 32 na kupanda kutoka nafasi ya 11 hadi ya saba sasa ikizidiwa pointi sita na Wolverhampton Wanderers PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Serena Williams vs Belinda Bencic LIVE: Retiring superstar returns to the court
-
Serena Williams is back on the tennis court today as the countdown on her
illustrious career begins. Follow live updates here with DailyMail.com.
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni