• HABARI MPYA

    Sunday, July 05, 2020

    RAMOS AIFUNGIA TENA BAO MUHIMU REAL KWA PENALTI YASHINDA 1-0

    Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica 
       
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RAMOS AIFUNGIA TENA BAO MUHIMU REAL KWA PENALTI YASHINDA 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top