Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter Obi’s entrance resurrected Labour Party –Eze, Ebonyi guber candidate
-
From Romanus Ugwu, Abuja Embattled Ebonyi State Labour Party (LP)
governorship candidate for the 2023 general elections, Eze Oko Splendour,
has vowed he ...
Dakika 29 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni