Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gov Alia sad over Ogboju attack, says bandits must pay for their crime
-
Benue State Governor Rev. Fr. Hyacinth Alia has expressed grief over the
attack on the Efeyi community in Ugboju by suspected armed herders in the
early ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment