Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Son of one of footy's greatest players is accused of white-anting Tigers
coach Benji Marshall as club boss explodes: 'It's just bulls**it on every
level'
-
Tigers boss Shane Richardson has slammed rumours about Marshall as
'bulls**t' after former recruitment manager Scott Fulton allegedly fed
criticisms about ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment