Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patriots' Mike Vrabel Gives Vague Answer When Asked About Gabe Jacas'
Contract Situation
-
The New England Patriots started mandatory minicamp on Tuesday, and
second-round draft pick Gabe Jacas remains unsigned.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment