Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Join the beaver hunt: Toronto neighborhood offers unique World Cup-themed
scavenger hunt
-
Berczy Park is home to a much-loved fountain featuring canine sculptures
that shoot water out of their mouths. Thousands already have flocked to the
Toront...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment