• HABARI MPYA

    Friday, July 03, 2020

    SIMBA SC WAWASILI MTWARA TAYARI KUWAVAA NDANDA SC KWENYE MECHI YA LIG KUU JUMAPILI NANGWANDA

    Mshambuliaji Mganda wa Simba SC, Meddie Kagere akishangiliwa na mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Ndanda SC Jumapil Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini humo 
    Kiungo Mzambia wa Simba SC, Clatous Chama akishangiliwa na mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo 
    Kiungo kutoka Msumbiji, Luis Miquisone akipenya kwenye umat wa mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC WAWASILI MTWARA TAYARI KUWAVAA NDANDA SC KWENYE MECHI YA LIG KUU JUMAPILI NANGWANDA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top