POGBA AFUNGA LA TATU MAN UNITED YAICHAPA 3-0 ASTON VILLA
Manchester United jana imeichapa Aston Villa 3-0 Uwanja wa Villa Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England, mabao ya Bruno Fernandes dakika ya 27 kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Ezri Konsa, Mason Greenwood dakika ya 45 na Paul Pogba dakika ya 58. Kwa ushindi huo Manchester United inafikisha pointi 58, ingawa inabaki nafasi ya tano, ikizidiwa pointi moja na Leicester City baada ya wote kucheza mechi 34PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BVB-Frauen siegen 2:1 durch Goosmann-Doppelpack
-
Die Frauen von Borussia Dortmund haben das letzte Meisterschaftsspiel in
der Kreisliga gegen den SV Körne verdient mit 2:1 (0:1) gewonnen. Beide
Tore für d...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni