Winga chipukizi, Bukayo Saka akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 43, kabla ya Alexandre Lacazette kufunga la pili dakika ya 86 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Wolverhampton Wanderers kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Molineux. Ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 49 na kupanda nafasi moja hadi ya saba, sasa ikizidiwa pointi moja na Wolves baada ya timu zote kucheza mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BMW iX3 review: Electric SUV with 500-mile range marks new era
-
Neue Klasse technology, 800-volt charging and impressive efficiency make
this model one of the most advanced electric SUVs yet
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment