• HABARI MPYA

    Thursday, July 16, 2020

    MAN CITY YAICHAPA 2-1 BOURNEMOUTH NYUMBANI ETIHAD

    Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 39, kufuatia David Silva kufunga la kwanza dakika ya sita katika ushindi wa 2-1 dhdi ya AFC Bournemouth ambayo bao lake lilifungwa na David Brooks dakika ya 88 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Manchester City inafikisha pointi 75 baada ya kucheza mechi 36 na kuendelea kukamata nafasi ya pili, wakiizidi pointi 13 Chelsea inayoshika nafasi ya pili 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAICHAPA 2-1 BOURNEMOUTH NYUMBANI ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top