Tammy Abraham akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 71 ikiwalza wenyeji, Crystal Palace 3-2 usiku wa jana katika mchezo wa Ligi ya England Uwanja wa Selhurst Park. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Olivier Giroud dakika ya sita na Christian Pulisic dakika ya 27, wakati ya Crystal Palace yalifungwa na Wilfried Zaha dakika ya 34 na Christian Benteke dakika ya 72. Kwa ushindi huo, Chelsea inafikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 34 na kupanda nafasi ya tatu, sasa ikizidiwa pointi sita na Manchester City wanaoshika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Take a POV ride of Tidal Force at Hersheypark | Ride will close Sept. 7
-
Tidal Force fans have limited time left to enjoy the popular flume ride.
Hersheypark says the attraction will close on Sept. 7, bringing its 32-year
run to...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment