Nahodha Sergio Ramos akikimbia kishujaa kushangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid kwa penalti dakika ya 79 kufuatia Dani Carvajal kuangushwa na Mathias Olivera kwenye boksi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Getafe kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stéfano. Kwa ushindi huo, Real Madrid wanafikisha pointi 74 sasa wakiwazidi pointi nne, mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 33, wakati Getafe inabaki nafasi ya sita na pointi zake 52 za mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How England pace ace Jofra Archer rammed criticism about pillows and chains
from Aussie 'greats' back down their throats with fiery bowling in Adelaide
-
Among the many brickbats hurled England's way has been the absence of an
attack leader. But on the first day of the third Test, that role fell on
the shoul...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment