Nahodha Sergio Ramos akikimbia kishujaa kushangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid kwa penalti dakika ya 79 kufuatia Dani Carvajal kuangushwa na Mathias Olivera kwenye boksi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Getafe kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stéfano. Kwa ushindi huo, Real Madrid wanafikisha pointi 74 sasa wakiwazidi pointi nne, mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 33, wakati Getafe inabaki nafasi ya sita na pointi zake 52 za mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce gives abrupt answer to question about Chiefs locker room
before Texans playoff showdown
-
The Kansas City Chiefs have the chance to do something that no team - not
the Cowboys, not the Steelers, not even the Patrtiots - has ever done: win
three ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment