Toby Alderweireld akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la ushindi dakika ya 81 ikiwalaza Arsenal 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London. Arsenal ilitangulia kwa bao la Alexandre Lacazette dakika ya 16, kabla ya Son Heung-Min kuisawazishia Tottenham dakika ya 19 na kwa ushindi huo, Spurs inafikisha pointi 52 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya nane, sasa ikiwazidi The Gunners pointi mbili baada ya timu zote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionel Messi foiled by cardboard goalkeeping robot in penalty shootout
-
Despite having scored 764 career goals, PSG star Lionel Messi couldn't find
the back of the net in a penalty shootout when face with a cardboard
goalkeepin...
Dakika 16 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni