Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa 2-0 dhidi ya Deportivo Alaves, mabao ya Karim Benzema dakika ya 11 kwa penalti baada ya Ximo Navarro kumchezea rafu Ferland Mendy na Marco Asensio dakika ya 50 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stefano Jijini Madrid. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 80 na kuendelea kuongoza La Liga, ikiwazidi pointi nne mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Duke vs. UNC live updates, score: Blue Devils, Tar Heels clash in ranked
battle to end regular season
-
Duke is out for revenge after the Tar Heels won the rivalry matchup last
month in dramatic fashion.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment