Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa 2-0 dhidi ya Deportivo Alaves, mabao ya Karim Benzema dakika ya 11 kwa penalti baada ya Ximo Navarro kumchezea rafu Ferland Mendy na Marco Asensio dakika ya 50 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stefano Jijini Madrid. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 80 na kuendelea kuongoza La Liga, ikiwazidi pointi nne mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Juventus join Chevalier race as Besiktas want to gift PSG outcast to
Italiano
-
Juventus have made enquiries with Paris Saint-Germain over goalkeeper Lucas
Chevalier as they explore alternatives to their primary target Emiliano
Martine...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment