Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa 2-0 dhidi ya Deportivo Alaves, mabao ya Karim Benzema dakika ya 11 kwa penalti baada ya Ximo Navarro kumchezea rafu Ferland Mendy na Marco Asensio dakika ya 50 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stefano Jijini Madrid. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 80 na kuendelea kuongoza La Liga, ikiwazidi pointi nne mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie NBA phenomenon Josh Giddey gets RIPPED OFF as he's snubbed by NBA All-Rookie team
-
He broke a record once held by LeBron James and became the first rookie to
notch three straight triple-doubles for 60 years, but that wasn't good
enough fo...
Dakika 49 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni