Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa 2-0 dhidi ya Deportivo Alaves, mabao ya Karim Benzema dakika ya 11 kwa penalti baada ya Ximo Navarro kumchezea rafu Ferland Mendy na Marco Asensio dakika ya 50 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stefano Jijini Madrid. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 80 na kuendelea kuongoza La Liga, ikiwazidi pointi nne mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patriots' Mike Vrabel Gives Vague Answer When Asked About Gabe Jacas'
Contract Situation
-
The New England Patriots started mandatory minicamp on Tuesday, and
second-round draft pick Gabe Jacas remains unsigned.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment