Marcus Rashford akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 45 kabla ya Anthony Martial kufunga la pili dakika ya 78 katika ushindi wa 2-0 dhdi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Selhurst Park Jijini London. Kwa ushindi huo, Man United wanafikisha pointi 62, ingawa wanabaki nafasi ya tano wakizidiwa wastani wa mabao tu na Leicester City inayoshika nafasi ya nne baada ya wote kucheza mechi 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
French Open 2022 Results: Medvedev Win, Shapovalov Upset Highlight Tuesday Results
-
The first round of the 2022 French Open is scheduled to wrap up Tuesday at
Stade Roland Garros in Paris. Daniil Medvedev headlined the action in the
men's...
Dakika 16 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni