Raheem Sterling (kushoto) akipongezwa na mwenzake baada ya kuifungia Manchester City mabao matatu dakika za 21,53 na 81 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa AMEX. Mabao mengine ya Manchester City yalifungwa na Gabriel Jesus dakika ya 44 na Bernardo Silva dakika ya 56 na kwa ushindi huo, kikosi cha Pep Guardiola kinafikisha pointi 72 na kuendelea kukamata nafasi ya pili, nyuma ya mabingwa tayari, Liverpool wenye pointi 93 baada ya wote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ilia Topuria vs. Justin Gaethje to headline UFC White House event
-
The co-main event will be Alex Pereira vs. Cyril Gane for the UFC interim
heavyweight title for the hotly anticipated event that will be part of a
celebrat...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment