Mason Greenwood akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 51 ikitoa sare ya 1-1 na West Ham United iliyotangulia kwa bao la Michail Antonio kwa penalti dakika ya 45 na ushei katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Sare hiyo inaifanya Manchester United ifikishe pointi 63 na kupanda hadi nafasi ya tatu sasa ikiizidi wastani wa mabao tu Chelsea inayoangukia nafasi ya nne baada ya timu zote kucheza mechi 37, wakati West Ham United inafikisha pointi 38 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment