Mason Greenwood akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 51 ikitoa sare ya 1-1 na West Ham United iliyotangulia kwa bao la Michail Antonio kwa penalti dakika ya 45 na ushei katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Sare hiyo inaifanya Manchester United ifikishe pointi 63 na kupanda hadi nafasi ya tatu sasa ikiizidi wastani wa mabao tu Chelsea inayoangukia nafasi ya nne baada ya timu zote kucheza mechi 37, wakati West Ham United inafikisha pointi 38 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sam Hartman, Jordan Travis' Top Landing Spots After Day 2 of 2024 NFL Draft
-
What a difference a day makes. The first round of the 2024 NFL draft on
Thursday night saw a total of six quarterbacks selected. The second and
third rounds…
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment