Mason Greenwood akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United katika ushindi wa 5-2 dhidi ya AFC Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yamefungwa na Marcus Rashford kwa penalti dakika ya 35, Anthony Martial dakika ya 45 na ushei na Bruno Fernandes dakika ya 59, wakati ya Bournemouth yamefungwa na Junior Stanislas dakika ya 15 na Joshua King dakika ya 49 kwa penalti. Kwa ushindi huo, Man United inafikisha pointi 55 baada ya kucheza mechi 33 na kupanda nafasi ya nne, sasa ikiizidi pointi moja Chelsea ambayo baadaye inacheza mechi yake ya 33 dhidi ya Watford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Elian Peña Headlines Mets' 2025 International Signings; No. 3 International
Prospect
-
On the first day of MLB's international signing period, the New York Mets
agreed to deals with 15 players. The Mets announced the deals on Wednesday,…
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment