• HABARI MPYA

    Sunday, July 12, 2020

    RONALDO APIGA MBILI JUVENTUS YALAZIMISHWA SARE 2-2 NA ATALANTA

    Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kuifungia mabao mawili Juventus, yote kwa penalti dakika za 55 na 90 ikilazimishwa sare ya 2-2 na Atalanta ambayo mabao yake yalifungwa na Daniel Zapata dakika ya 16 na Ruslan Malinovskiy dakika ya 80 katika mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Allianz Jijini Torino. Pamoja na sare hiyo, Juventus inaendelea kuongoza Serie A kwa pointi zake 76, ikifuatiwa na Lazio 68 na Atalanta 67 baada ya wote kucheza mechi 3
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO APIGA MBILI JUVENTUS YALAZIMISHWA SARE 2-2 NA ATALANTA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top