Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kuifungia mabao mawili Juventus, yote kwa penalti dakika za 55 na 90 ikilazimishwa sare ya 2-2 na Atalanta ambayo mabao yake yalifungwa na Daniel Zapata dakika ya 16 na Ruslan Malinovskiy dakika ya 80 katika mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Allianz Jijini Torino. Pamoja na sare hiyo, Juventus inaendelea kuongoza Serie A kwa pointi zake 76, ikifuatiwa na Lazio 68 na Atalanta 67 baada ya wote kucheza mechi 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sam Hartman, Jordan Travis' Top Landing Spots After Day 2 of 2024 NFL Draft
-
What a difference a day makes. The first round of the 2024 NFL draft on
Thursday night saw a total of six quarterbacks selected. The second and
third rounds…
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment