Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kuifungia mabao mawili Juventus, yote kwa penalti dakika za 55 na 90 ikilazimishwa sare ya 2-2 na Atalanta ambayo mabao yake yalifungwa na Daniel Zapata dakika ya 16 na Ruslan Malinovskiy dakika ya 80 katika mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Allianz Jijini Torino. Pamoja na sare hiyo, Juventus inaendelea kuongoza Serie A kwa pointi zake 76, ikifuatiwa na Lazio 68 na Atalanta 67 baada ya wote kucheza mechi 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Duke vs. UNC live updates, score: Blue Devils, Tar Heels clash in ranked
battle to end regular season
-
Duke is out for revenge after the Tar Heels won the rivalry matchup last
month in dramatic fashion.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment