Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 56 ikiwalaza Espanyol 1-0 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou ambao kila limpoteza mchezaji mmoja kwa kadi nyekundu. Barcelona inafikiisha pointi 76 baada ya kucheza mechi 35, ingawa inabaki nafasi ya pili nyuma ya Real Madrid yenye pointi moja zaidi na mechi mkononi, wakati Espanyol inaendelea kushika mkia na pointi zake 24 za mechi 35 sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Broncos Rumors: Russell Wilson Had Surgery for Knee Injury; Will Be Ready for Season
-
Denver Broncos quarterback Russell Wilson is expected to be ready for
organized team activities and at full strength for the regular season after
having knee…
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment