Cristiano Ronaldo (wa pili kushoto) akipongezwa na makocha baada ya mechi dhidi ya Sampdoria, ambayo Juventus walishinda 2-0 usiku wa jana Uwanja wa Allianz Jijin0 Torino na kutwaa taji la Serie A kwa mara pili mfululizo tangu Mreno huyo ajiunge na timu hiyo na la tisa mfululizo kwao. Mabao ya Juventus yalifungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 45 na ushei na Federico Bernardeschi dakika ya 67 na kwa ushindi huo, Juventus inafikisha pointi 83 kuelekea mechi mbili za mwisho ikiizidi pointi saba Inter Milan inayoafuatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Big Board: Best Available Players After Day 2
-
While Day 2 of the 2024 NFL draft might not have involved as much drama as
Day 1, plenty of future starters and stars came off the board. Prospects
picked on…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment