Nyota Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 71 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la Liverpool limefungwa na kinda Curtis Jones dakika ya 89 na kwa ushindi huo, Liverpool ambao tayari ni mabingwa, wanafikisha pointi 89 baada ya kucheza mechi 33, wakati Aston Villa inabaki nafasi ya 19 na pointi zake 27 baada ya kucheza mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gov Alia sad over Ogboju attack, says bandits must pay for their crime
-
Benue State Governor Rev. Fr. Hyacinth Alia has expressed grief over the
attack on the Efeyi community in Ugboju by suspected armed herders in the
early ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment