Nyota Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 71 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la Liverpool limefungwa na kinda Curtis Jones dakika ya 89 na kwa ushindi huo, Liverpool ambao tayari ni mabingwa, wanafikisha pointi 89 baada ya kucheza mechi 33, wakati Aston Villa inabaki nafasi ya 19 na pointi zake 27 baada ya kucheza mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emiliano Martinez avoids getting sent off DURING penalty shootout for
winding up Lille fans thanks to little-known rule… before Aston Villa
keeper saves decisive spot-kick
-
The Argentina goalkeeper, who made headlines with his antics in the World
Cup final shootout against France, was warned by Slovakian referee Ivan
Kruzliak ...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment