Arturo Vidal akipogezwa na Lionel Messi baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 15 ikiwalaza wenyeji, Real Valladolid 1-0 katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Jose Zorrilla. Kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 79 baada ya kucheza mechi 36, ingawa inabaki nafasi ya pili nyuma ya Real Madrid wanaoendelea kuongoza kwa pointi moja zaidi wakiwa pia wana mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ilia Topuria vs. Justin Gaethje to headline UFC White House event
-
The co-main event will be Alex Pereira vs. Cyril Gane for the UFC interim
heavyweight title for the hotly anticipated event that will be part of a
celebrat...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment