Arturo Vidal akipogezwa na Lionel Messi baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 15 ikiwalaza wenyeji, Real Valladolid 1-0 katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Jose Zorrilla. Kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 79 baada ya kucheza mechi 36, ingawa inabaki nafasi ya pili nyuma ya Real Madrid wanaoendelea kuongoza kwa pointi moja zaidi wakiwa pia wana mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Quiz: Every Arsenal PL goalscorer at Tottenham
-
Can you name all 25 Gunners that have scored an away goal in a north London
derby during the Premier League era?
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment