Olivier Giroud akishangilia na Jorginho baada ya kuifungia Chelsea bao pekee dakika ya 45 na ushei ikiwalaza 1-0 Norwich City usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Venue Stamford Bridge Jijini London. Kwa ushindi huo, Chelsea inafikisha pointi 63 baada ya kucheza mechi 36 na kuendelea kushika nafasi ya tatu, nyuma ya Manchester City yenye pointi 72 na mabingwa tayari, Liverpool ponti 93 baada ya wote kucheza mechi 35. Norwich City inaendelea kushika mkia na pointi zake 21 za mcni 36, ikizidiwa point tisa na Aston Villa inayoshika nafasi ya 19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United goalkeeper David de Gea posts training video from
non-league ground... as the free agent vows to 'come back stronger' after
spending almost a year away from football
-
Former Manchester United goalkeeper David de Gea has posted a video of
himself in training to give another clear indication that he is ready to
return to f...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment