Wachezaji wa Simba Queens wakifurahia ushindi wa 5-1 dhidi ya Yanga Princess kwenye Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba Queens yalifungwa na Mwanahamisi Omary 'Gaucho' dakika ya 32 na 75, Opa Clement dakika ya 65 na 82 na Joel Bukuru dakika ya 69, wakati bao pekee la Yanga Princess lilifungwa na Joel Nesri dakika ya 35
JUST IN: Arsenal midfielder Mohamed Elneny signs new contract
-
Arsenal have announced that midfielder Mohamed Elneny has signed a new
contract with the north London side. Elneny has been a key member of the
Arsenal sq...
Dakika 46 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni