Wachezaji wa Simba Queens wakifurahia ushindi wa 5-1 dhidi ya Yanga Princess kwenye Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba Queens yalifungwa na Mwanahamisi Omary 'Gaucho' dakika ya 32 na 75, Opa Clement dakika ya 65 na 82 na Joel Bukuru dakika ya 69, wakati bao pekee la Yanga Princess lilifungwa na Joel Nesri dakika ya 35
Italy reappoint Roberto Mancini as national team coach
-
Roberto Mancini has returned as head coach of Italy's national football
team, taking charge of the Azzurri for a second spell as the Italian
Football Fed...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment