Jay Rodriguez akishangilia baada ya kuifungia Burnley bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 1-1 na Liverpool iliyotangulia kwa bao la Andy Robertson dakika ya 34 Uwanja wa Anfield. Kwa sare hiyo, Liverpool ambao ni mabingwa tayari wanafikisha pointi 93 baada ya kucheza mechi 35, wakati Burnley inafikisha pointi 50 baada ya kucheza mechi 35 pa na kupanda kwa nafasi moja hadi ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England World Cup plans rocked with Tino Livramento injured in training and
set to miss the tournament - with Chelsea star in line to replace him
-
Tino Livramento is set to be ruled out of the World Cup through injury. The
FA are yet to confirm the news, but The Telegraph have reported the
23-year-old...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment