Jay Rodriguez akishangilia baada ya kuifungia Burnley bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 1-1 na Liverpool iliyotangulia kwa bao la Andy Robertson dakika ya 34 Uwanja wa Anfield. Kwa sare hiyo, Liverpool ambao ni mabingwa tayari wanafikisha pointi 93 baada ya kucheza mechi 35, wakati Burnley inafikisha pointi 50 baada ya kucheza mechi 35 pa na kupanda kwa nafasi moja hadi ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Concerning moment Jarrod Bowen runs into goalpost in eerily similar
incident to that which left Taiwo Awoyini in a coma
-
Jarrod Bowen collided with the goalpost in West Ham's match against
Nottingham Forest in an incident redolent of Taiwo Awoniyi's recent
accident.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment