Jay Rodriguez akishangilia baada ya kuifungia Burnley bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 1-1 na Liverpool iliyotangulia kwa bao la Andy Robertson dakika ya 34 Uwanja wa Anfield. Kwa sare hiyo, Liverpool ambao ni mabingwa tayari wanafikisha pointi 93 baada ya kucheza mechi 35, wakati Burnley inafikisha pointi 50 baada ya kucheza mechi 35 pa na kupanda kwa nafasi moja hadi ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Queensland Government 'consider SCRAPPING the Brisbane 2032 Olympic Games'
after public backlash... but are warned pulling out will cost $500MILLION
-
9News has reported that the Queensland discussed the possibility of pulling
out of hosting duties, in a move that would send shockwaves throughout the
spor...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment