Jay Rodriguez akishangilia baada ya kuifungia Burnley bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 1-1 na Liverpool iliyotangulia kwa bao la Andy Robertson dakika ya 34 Uwanja wa Anfield. Kwa sare hiyo, Liverpool ambao ni mabingwa tayari wanafikisha pointi 93 baada ya kucheza mechi 35, wakati Burnley inafikisha pointi 50 baada ya kucheza mechi 35 pa na kupanda kwa nafasi moja hadi ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie NBA phenomenon Josh Giddey gets RIPPED OFF as he's snubbed by NBA All-Rookie team
-
He broke a record once held by LeBron James and became the first rookie to
notch three straight triple-doubles for 60 years, but that wasn't good
enough fo...
Dakika 40 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni