Jay Rodriguez akishangilia baada ya kuifungia Burnley bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 1-1 na Liverpool iliyotangulia kwa bao la Andy Robertson dakika ya 34 Uwanja wa Anfield. Kwa sare hiyo, Liverpool ambao ni mabingwa tayari wanafikisha pointi 93 baada ya kucheza mechi 35, wakati Burnley inafikisha pointi 50 baada ya kucheza mechi 35 pa na kupanda kwa nafasi moja hadi ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gov Alia sad over Ogboju attack, says bandits must pay for their crime
-
Benue State Governor Rev. Fr. Hyacinth Alia has expressed grief over the
attack on the Efeyi community in Ugboju by suspected armed herders in the
early ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment