Olivier Giroud akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 28 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Watford, mabao mengine yakifungwa na Willian dakika ya 43 kwa penalti na Ross Barkley dakika ya 90 na ushei kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea inafikisha pointi 57 baada ya ushindi huo na kurejea nafasi ya nne, ikiizidi pointi mbili Manchester United baada ya timu zote kucheza mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Take a POV ride of Tidal Force at Hersheypark | Ride will close Sept. 7
-
Tidal Force fans have limited time left to enjoy the popular flume ride.
Hersheypark says the attraction will close on Sept. 7, bringing its 32-year
run to...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment