Olivier Giroud akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 28 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Watford, mabao mengine yakifungwa na Willian dakika ya 43 kwa penalti na Ross Barkley dakika ya 90 na ushei kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea inafikisha pointi 57 baada ya ushindi huo na kurejea nafasi ya nne, ikiizidi pointi mbili Manchester United baada ya timu zote kucheza mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE Rumors on Dom Mysterio Surgery, The Rock Ending PG Era, WrestleMania 41
in Vegas
-
Bleacher Report catches you up on the latest news from the WWE Universe.
Dominik Mysterio Reportedly Set for Elbow Surgery; Dom Responds After
showing up on…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment