Wachezaji wa Barcelona kutoka kulia Lionel Messi, Luis Suarez na Antoine Griezmann wakipongezana baada ya ushindi wa 4-1dhidi ya Villareal kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana, Uwanja wa Ceramica. Mabao ya Barcelona yalifungwa na Pau Torres aliyejifunga dakika ya tatu, Luis Suarez dakika ya 20, Antoine Griezmann dakika ya 45 na Ansu Fati dakika ya 86, wakati la Villareal lilifungwa na Gerard Moreno dakika ya 14 na kwa ushindi huo Barca inafikisha pointi 73, sasa ikizidiwa pointi nne na vinara, Real Madrid baada ya wote kucheza mechi 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool fans are left baffled by 'silly' talks to sell club legend Andy
Robertson to Tottenham, fearing leadership void as they take aim at squad
planning
-
Arne Slot's side have received an approach from Spurs about getting a deal
done this window, after Thomas Frank lost defender Ben Davies to a broken
ankle ...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment