Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa 2-1 na Osasuna kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou, hivyo kuvuliwa rasmi ubingwa kufuatia wapinzani wao, Real Madrid kushinda 2-1 dhdi ya Villarreal. Mabao ya Osasuna leo yamefungwa na Jose Arnaiz dakika ya 15 na Roberto Torres dakika ya 90 na ushei, wakati Messi alifunga la Barca dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
10 players at World Cup 2026 you completely forgot about
-
One of the great joys of the World Cup is discovering players you have
never seen or even heard of, but there is also delight to be found in
rediscovering ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment