Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa 2-1 na Osasuna kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou, hivyo kuvuliwa rasmi ubingwa kufuatia wapinzani wao, Real Madrid kushinda 2-1 dhdi ya Villarreal. Mabao ya Osasuna leo yamefungwa na Jose Arnaiz dakika ya 15 na Roberto Torres dakika ya 90 na ushei, wakati Messi alifunga la Barca dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham 'want £100MILLION in one up-front payment' to sell Harry Kane this summer'
-
Manchester United is a possible destination for Kane, but Tottenham are
eager not to sell to a domestic rival. Tottenham hope not accepting
instalments wil...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment