Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa 2-1 na Osasuna kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou, hivyo kuvuliwa rasmi ubingwa kufuatia wapinzani wao, Real Madrid kushinda 2-1 dhdi ya Villarreal. Mabao ya Osasuna leo yamefungwa na Jose Arnaiz dakika ya 15 na Roberto Torres dakika ya 90 na ushei, wakati Messi alifunga la Barca dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Son of one of footy's greatest players is accused of white-anting Tigers
coach Benji Marshall as club boss explodes: 'It's just bulls**it on every
level'
-
Tigers boss Shane Richardson has slammed rumours about Marshall as
'bulls**t' after former recruitment manager Scott Fulton allegedly fed
criticisms about ...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment