Kinda wa England, Mason Mount akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Chelsea kabla ya Olivier Giroud kufunga la pili, yote katika dakika za nyongeza kipindi cha kwanza The Blues wakiichapa 2-0 Wolverhampton Wanderers kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge Jijin London. Chelsea inafikisha pointi 66 na kumaliza nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu, ikizidiwa wastani wa mabao tu na Manchester Cty iliyomaliza nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United consider shock move for Premier League goalkeeper amid plans to
shift BOTH Altay Bayindir and £120,000-a-week exile Andre Onana after Senne
Lammens' superb debut season
-
The 35-year-old qualifies as a homegrown player, which is viewed positively
for a potential second-choice goalkeeper role at Old Trafford. However, he
is a...
7 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment