Wachezaji wa Manchester City wakipongezana baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Liverpool, mabao ya Kevin de Bruyne kwa penalti dakika ya 25, Raheem Sterling dakika ya 35, Phil Foden dakika ya 45 na Alex Oxlade-Chamberlain aliyejifunga dakika ya 66 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Alhamsi Uwanja wa Etihad. Man City wanafikisha pointi 66 baada ya ushindi huo, sasa wakizidiwa pointi 20 na mabingwa wapya wa England, Liverpool wenye pointi 86 baada ya wote kucheza mechi 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police rescue Adelabu’s sister, twin sons alive, two suspected kidnappers
killed in gun battle
-
The Nigeria Police Force has successfully rescued Mrs. Olaide Busayo
Adegoke John-Paul, the younger sister of former Minister
The post Police rescue Adel...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment