Michael Obafemi akishangilia baada ya kuifungia Southampton bao la kusawazsha dakika ya 90 na ushei ikitoa sare ya 2-2 na wenyeji, Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza la Southampton lilifungwa na Stuart Armstrong dakika ya 12, wakati ya Manchester United yalifungwa na Marcus Rashford dakika ya 20 na Anthony Martial dakika ya 23. Kwa matokeo hayo, Man United inafikisha pointi 59, ingawa inabaki nafasi ya tano ikizidiwa wastani wa mabao na Leicester City baada ya wote kucheza mechi 35, wakati Southampton inabaki nafasi ya 12 na pointi zake 45 za mechi 35 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Take a POV ride of Tidal Force at Hersheypark | Ride will close Sept. 7
-
Tidal Force fans have limited time left to enjoy the popular flume ride.
Hersheypark says the attraction will close on Sept. 7, bringing its 32-year
run to...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment