Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Manchester United usiku wa leo kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA England Uwanja wa Wembley, London. Mabao ya Chelsea yalifungwa na Olivier Giroud dakika ya 45 na ushei, Mason Mount dakika ya 46 na Harry Maguire aliyejifunga dakika ya 74, wakati la Manchester United limefungwa na Bruno Fernandes kwa penalti dakika ya 85 na sasa The Blues itakutana na Arsenal kwenye fainali Agosti 1, hapo hapo Wembley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Duke vs. UNC live updates, score: Blue Devils, Tar Heels clash in ranked
battle to end regular season
-
Duke is out for revenge after the Tar Heels won the rivalry matchup last
month in dramatic fashion.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment