• HABARI MPYA

    Sunday, July 19, 2020

    CHELSEA YAICHAPA MAN UNITED 3-1, KUKUTANA NA ARSENAL FAINALI FA

    Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Manchester United usiku wa leo kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA England Uwanja wa Wembley, London. Mabao ya Chelsea yalifungwa na Olivier Giroud dakika ya 45 na ushei, Mason Mount dakika ya 46 na Harry Maguire aliyejifunga dakika ya 74, wakati la Manchester United limefungwa na Bruno Fernandes kwa penalti dakika ya 85 na sasa The Blues itakutana na Arsenal kwenye fainali Agosti 1, hapo hapo Wembley 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAICHAPA MAN UNITED 3-1, KUKUTANA NA ARSENAL FAINALI FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top