Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Manchester United usiku wa leo kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA England Uwanja wa Wembley, London. Mabao ya Chelsea yalifungwa na Olivier Giroud dakika ya 45 na ushei, Mason Mount dakika ya 46 na Harry Maguire aliyejifunga dakika ya 74, wakati la Manchester United limefungwa na Bruno Fernandes kwa penalti dakika ya 85 na sasa The Blues itakutana na Arsenal kwenye fainali Agosti 1, hapo hapo Wembley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Vardy's wife Rebekah posts four-word congratulatory message after
Leicester secured promotion... as she joins husband on FaceTime call with
Premier League legend
-
Jamie Vardy and his wife Rebekah shared a celebratory facetime call with a
Premier League icon on Friday evening after Leicester's promotion back to
the Pr...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment