Sheffield United wamepata ushindi wa kwanza tangu kurejea kwa Ligi Kuu ya England baada ya kuichapa Tottenham Hotspur 3-1 usiku wa leo Uwanja wa Bramall Lane. Mabao ya Sheffield United yamefungwa na Sander Berge dakika ya 31, Lys Mousset dakika ya 69 na Oliver McBurnie dakika ya 84, wakati la Spurs limefungwa na Harry Kane dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England World Cup plans rocked with Tino Livramento injured in training and
set to miss the tournament - with Chelsea star in line to replace him
-
Tino Livramento is set to be ruled out of the World Cup through injury. The
FA are yet to confirm the news, but The Telegraph have reported the
23-year-old...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment