Sheffield United wamepata ushindi wa kwanza tangu kurejea kwa Ligi Kuu ya England baada ya kuichapa Tottenham Hotspur 3-1 usiku wa leo Uwanja wa Bramall Lane. Mabao ya Sheffield United yamefungwa na Sander Berge dakika ya 31, Lys Mousset dakika ya 69 na Oliver McBurnie dakika ya 84, wakati la Spurs limefungwa na Harry Kane dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter Obi’s entrance resurrected Labour Party –Eze, Ebonyi guber candidate
-
From Romanus Ugwu, Abuja Embattled Ebonyi State Labour Party (LP)
governorship candidate for the 2023 general elections, Eze Oko Splendour,
has vowed he ...
Dakika 3 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni