Kevin de Bruyne akishangilia na David Silva (kushoto) baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika ya 45 na 90 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Norwich City ambao tayari wameshuka daraja kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Manchester City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 11, Raheem Sterling dakika ya 79 na Riyad Mahrez dakika ya 83 na kwa ushindi huo, timu ya Pep Guardiola inamaliza na pointi 81 katika nafasi ya pili, ikizidiwa pointi 18 na mabingwa, Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United: John Barnes claims the Red Devils would have finished higher WITHOUT Cristiano Ronaldo
-
Man United have endured their worst season in their Premier League history,
finishing sixth and only just clinching Europa League football for next
term am...
Dakika 38 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni