Kevin de Bruyne akishangilia na David Silva (kushoto) baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika ya 45 na 90 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Norwich City ambao tayari wameshuka daraja kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Manchester City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 11, Raheem Sterling dakika ya 79 na Riyad Mahrez dakika ya 83 na kwa ushindi huo, timu ya Pep Guardiola inamaliza na pointi 81 katika nafasi ya pili, ikizidiwa pointi 18 na mabingwa, Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England World Cup plans rocked with Tino Livramento injured in training and
set to miss the tournament - with Chelsea star in line to replace him
-
Tino Livramento is set to be ruled out of the World Cup through injury. The
FA are yet to confirm the news, but The Telegraph have reported the
23-year-old...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment