Jadon Sancho akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund mabao mawili dakika ya 63 na 74 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Fortuna Dusseldorf kwenye mchezo wa Bundesliga jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Mabao mengine yalifungwa na Marco Reus mawili pia dakika za 42 na 70 na Thorgan Hazard dakka ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hire, fire, final - Chelsea's player power may be ugly, but it wins
-
Chelsea are in another FA Cup final - but only after their players showed
up in a way they were no longer doing for Liam Rosenior, writes Phil
McNulty.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment