Jadon Sancho akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund mabao mawili dakika ya 63 na 74 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Fortuna Dusseldorf kwenye mchezo wa Bundesliga jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Mabao mengine yalifungwa na Marco Reus mawili pia dakika za 42 na 70 na Thorgan Hazard dakka ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Gordon sensationally reveals that a former Liverpool icon is his
footballing hero... despite the ex-Everton winger once insisting he 'lives
and breathes' the Toffees
-
The 23-year-old started his footballing journey in Liverpool's youth
academy before switching to join Everton at the age of 11. He rose through
the ranks a...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment