Wachezaji wa Chelsea wakipongezana baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London wakitoka kufungwa mfululizo na Manchester City and West Ham. Mabao ya Chelsea yalfungwa na Tammy Abraham dakika ya 24 na Mason Mount dakika ya 48, wakati la Villa lilifungwa na Mahmoud Hassan 'Trezeguet' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miami Heat fans are SLAMMED by Kendrick Perkins for leaving 'too many'
empty seats for crucial play-in game against the Chicago Bulls... as they
are labelled 'not a great fanbase'
-
During ESPN's broadcast, the retired NBA center expressed his frustration
with the amount of empty seats at Kaseya Center in what could have been the
Heat'...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment