Wachezaji wa Chelsea wakipongezana baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London wakitoka kufungwa mfululizo na Manchester City and West Ham. Mabao ya Chelsea yalfungwa na Tammy Abraham dakika ya 24 na Mason Mount dakika ya 48, wakati la Villa lilifungwa na Mahmoud Hassan 'Trezeguet' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Galatasaray 1-0 Liverpool: Arne Slot's men were lucky to escape a mauling
in Istanbul, writes LEWIS STEELE, after a string of sloppy mistakes and
controversial goal being ruled out
-
When the ears of Liverpool's stars recover after the dizzying noise of the
most intimidating atmosphere many will ever face, they may hear the voice
of Slo...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment