Wachezaji wa Chelsea wakipongezana baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London wakitoka kufungwa mfululizo na Manchester City and West Ham. Mabao ya Chelsea yalfungwa na Tammy Abraham dakika ya 24 na Mason Mount dakika ya 48, wakati la Villa lilifungwa na Mahmoud Hassan 'Trezeguet' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL world reacts to Bears picking Keyshaun Elliott in 2026 NFL Draft
-
The Chicago Bears selected linebacker Keyshaun Elliott in the 2026 NFL
Draft. Here's how fans are reacting.
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment