Marcus Rashford akishangila baada ya kuifungia bao la pili Manchester United kwa penalti dakika ya 49 baada ya yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Moussa Sissoko katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Rashford pia ndiye aliyefunga bao la kwanza la Man United kabla ya Dele Alli kuisawazishia Spurs dakika ya 39 kocha Mreno, Jose Mourinho mechi ya kwanza dhidi ya timu yake ya zamani akwa na Tottenham PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the Enzo Fernandez to Real Madrid saga: Why midfielder's agent will
be embarrassed, why Spanish club's denial does not spell the end, Chelsea's
stance and the other clubs who could hijack the deal
-
It was 3.52am in Miami when Real released their statement, and Enzo
Fernandez's agent, Javier Pastore, is in Florida's vibrant city ahead of
Argentina's Wo...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment