Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United na England, Wayne Rooney akijimwagia maji wakati wa mazoezi ya timu yake mpya, DC United jana kujiandaa na mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu ya Marekani (MLS) dhidi ya Vancouver Whitecaps Julai 10 baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 kujiunga na timu hiyo Washington DC akitokwa Everton ya kwao, England mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Echono’s blueprint for reforming Nigeria’s universities
-
On June 18, 2026, at the Abuja Leadership Centre of Excellence of
University of Abuja (UniAbuja), the Executive Secretary of the Tertiary
Education Trust...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment