Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United na England, Wayne Rooney akijimwagia maji wakati wa mazoezi ya timu yake mpya, DC United jana kujiandaa na mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu ya Marekani (MLS) dhidi ya Vancouver Whitecaps Julai 10 baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 kujiunga na timu hiyo Washington DC akitokwa Everton ya kwao, England mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
At least 20 killed in Colombia highway blast
-
Colombia’s President Gustavo Petro has blamed a ‘narco-terrorist group’,
led by a former FARC fighter, for the attack.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment