Beki Samuel Umtiti (wa pili kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Ufaransa bao pekee la ushindi dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Ubelgiji kwenye mchezo wa Nusu Fainali Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi. Ufaransa itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya England na Croatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Against Liverpool it's a good idea to defend! Thomas Frank hits back at
critics who say he's obsessed with opponents
-
The Spurs boss hit back at critics who claim his team are more concerned
with stopping opponents than imposing their own style and warned it might
be a goo...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment