Beki Samuel Umtiti (wa pili kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Ufaransa bao pekee la ushindi dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Ubelgiji kwenye mchezo wa Nusu Fainali Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi. Ufaransa itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya England na Croatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US, Iran officials to hold indirect Doha talks on peace deal
-
United States and Iranian officials are expected to hold indirect technical
talks in Doha, Qatar, on Wednesday as efforts continue to implement the
memor...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment