Beki Samuel Umtiti (wa pili kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Ufaransa bao pekee la ushindi dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Ubelgiji kwenye mchezo wa Nusu Fainali Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi. Ufaransa itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya England na Croatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smiling Mo Salah trains with Liverpool team-mates ahead of Tottenham clash,
as he appears to put ugly touchline spat with Jurgen Klopp behind him
-
The forward had an ugly touchline quarrel with manager Jurgen Klopp when
they drew 2-2 with West Ham on Saturday.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment