Kiungo wa kimataifa wa Uruguay, Lucas Torreira akifurahia baada ya kukamilisha usajili wake klabu ya Arsenal kwa dau la Pauni Milioni 25 kutoka Pescara alikokuwa anacheza kwa mkopo kutoka Sampdoria. Lucas Torreira anakuwa mchezaji wa nne kusajiliwa Arsenal chini ya kocha mpya, Mspaniola Unai Emery, baada ya Sokratis Papastathopoulos, Bernd Leno na Stephan Lichtsteiner PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup Unfiltered Poll: Will England advance to the last-16 of the World
Cup?
-
DR Congo's battling performance against Portugal will serve as a warning to
Thomas Tuchel to take their opponents seriously.
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment