Kiungo wa kimataifa wa Uruguay, Lucas Torreira akifurahia baada ya kukamilisha usajili wake klabu ya Arsenal kwa dau la Pauni Milioni 25 kutoka Pescara alikokuwa anacheza kwa mkopo kutoka Sampdoria. Lucas Torreira anakuwa mchezaji wa nne kusajiliwa Arsenal chini ya kocha mpya, Mspaniola Unai Emery, baada ya Sokratis Papastathopoulos, Bernd Leno na Stephan Lichtsteiner PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Female darts star Beau Graves, 21, almost causes HUGE upset at World
Championship - as opponent Daryl Gurney tips her for stardom
-
Female darts star Beau Greaves almost caused an almighty upset against
Daryl Gurney at Alexandra Palace on Friday night.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment