Kiungo wa kimataifa wa Uruguay, Lucas Torreira akifurahia baada ya kukamilisha usajili wake klabu ya Arsenal kwa dau la Pauni Milioni 25 kutoka Pescara alikokuwa anacheza kwa mkopo kutoka Sampdoria. Lucas Torreira anakuwa mchezaji wa nne kusajiliwa Arsenal chini ya kocha mpya, Mspaniola Unai Emery, baada ya Sokratis Papastathopoulos, Bernd Leno na Stephan Lichtsteiner PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Does Israel’s ‘Yellow Line’ violate the Lebanon ceasefire?
-
The Israeli ‘Yellow Line’ in Lebanon raises fears that a temporary military
zone could become a longer-term occupation.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment