Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
BAADA ya mechi za makundi kuisha leo tayari timu nane tayari zimefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Kagame ambazo ni Azam FC, Vipers ya Uganda na JKU ya Zanzibar za Kundi A.
Kundi B zipo Rayon Sports na Gor Mahia na AS Ports na kutoka Kundi C zipo Simba na Singida United.
Rayon na Gor Mahia zimefanana kila kitu hivyo ufafanuzi wa kiongozi utawajia baadaye kutoka waandaaji CECAFA.
Hivyo basi katika robo fainali Simba itacheza na Ports na Singida itaivaa JKU.
BAADA ya mechi za makundi kuisha leo tayari timu nane tayari zimefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Kagame ambazo ni Azam FC, Vipers ya Uganda na JKU ya Zanzibar za Kundi A.
Kundi B zipo Rayon Sports na Gor Mahia na AS Ports na kutoka Kundi C zipo Simba na Singida United.
Rayon na Gor Mahia zimefanana kila kitu hivyo ufafanuzi wa kiongozi utawajia baadaye kutoka waandaaji CECAFA.
Hivyo basi katika robo fainali Simba itacheza na Ports na Singida itaivaa JKU.
0 comments:
Post a Comment