Fabian Delph akiwa ameshika zawadi ya jezi ya mtoto ya timu ya taifa nchini Urusi jana aliyopewa na Chama cha Soka England (FA) aliporejea kwenye kambi ya Three Lions baada ya kupewa ruhusa kwenda nyumbani kufuatia kuzaliwa kwa mtoto wake wa tatu, wa kike. Delph alirejea England kabla ya mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia dhidi ya Colombia baada ya kuzaliwa binti yake huyo, lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 wa Manchester City amewahi mchezo wa Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
5-Year-Old Girl Disappears from Her Bed in the Middle of the Night amid
‘Suspicious Circumstances': Police
-
Sharon was last seen at her home in Alice Springs, Australia, on Saturday,
April 25
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment