Gwiji wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Osmund Mbilinyi ‘Mr II Sugu’ (kulia) katika suti ya jeans akiwa na mwanamuziki wa bendi ya Msondo Ngoma, Roman Mng’ande ‘Romario’ kwenye ukumbi wa TCC Chang’ombe, Dar es Salaam mwaka 2002 wakati wa onyesho la bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’. Sugu sasa akitamba kwa jina la Jongwe ni Mbunge wa Mbeya Mjini na zaidi amavaa ‘suti laini’ na si za kigumu tena kama hizi
Bayer Leverkusen vs Arsenal - Champions League LIVE: Latest score and
updates as Gunners star returns for Mikel Arteta's men
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Bayer Leverkusen welcome Arsenal to the BayArena, with Isaan
Khan report...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment