Gwiji wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Osmund Mbilinyi ‘Mr II Sugu’ (kulia) katika suti ya jeans akiwa na mwanamuziki wa bendi ya Msondo Ngoma, Roman Mng’ande ‘Romario’ kwenye ukumbi wa TCC Chang’ombe, Dar es Salaam mwaka 2002 wakati wa onyesho la bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’. Sugu sasa akitamba kwa jina la Jongwe ni Mbunge wa Mbeya Mjini na zaidi amavaa ‘suti laini’ na si za kigumu tena kama hizi
Moyes 'livid' after West Ham concede five
-
West Ham manager David Moyes says his side "did a lot of things wrong"
during their 5-0 thrashing by Chelsea in the Premier League.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment