Kipa Manuel Neuer akiokoa wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Austria akiidakia Ujerumani kwa mara ya kwanza tangu Septemba mwaka jana alipoumia mguu, Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Worthersee mjini Klagenfurt am Worthersee, Austria ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Martin Hinteregger dakika ya 53 na Alessandro Schopf dakika ya 69, baada ya Mesut Ozil kutangulia kuifungia Ujerumani dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Maxx Crosby breaks silence on collapsed Baltimore Ravens trade in defiant
message to Las Vegas Raiders
-
The Pro Bowl pass rusher appeared to take a direct swipe at the rumors
surrounding his 'failed' physical, which was cited as the reason for the
deal collap...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment