Kipa Manuel Neuer akiokoa wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Austria akiidakia Ujerumani kwa mara ya kwanza tangu Septemba mwaka jana alipoumia mguu, Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Worthersee mjini Klagenfurt am Worthersee, Austria ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Martin Hinteregger dakika ya 53 na Alessandro Schopf dakika ya 69, baada ya Mesut Ozil kutangulia kuifungia Ujerumani dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mexico vs England - World Cup LIVE: All the reaction to 10-man Three Lions'
heroics as the players speak - but pundits lay into Thomas Tuchel's
post-match interview
-
Follow Daily Mail Sport's live coverage of the latest updates as Mexico
take on England in the last 16 of the World Cup in Mexico City.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment