Beki wa kimataifa wa Tanzania, Abdi Banda (kushoto) akiwa mchezaji wa zamani nyota nchini, Abdi Kassim 'Babbi' baada ya kukutana kwenye mazoezi ya timu ya mwanamuziki Ali Kiba na Rafiki zake jana Uwanja wa Jakaya Mrisho Kikwete (JMK) Park, eneo la Gerezani, katika kujiandaa na mchezo wa Hisani dhidi ya timu ya Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta na Rafiki zake unaofanyika leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Abdi Kassim, kiungo wa zamani wa Yanga na Taifa Stars (kushoto) akiwa ba kipa Shaaban Kado
Abdi Banda akijifua leo kujiandaa kwenda kumdhibiti Mbwana Samatta
Ali 'King' Kiba mwenyewe (kulia) akiwa mazoezini jana
Kiungo Ally Bin Slum akiwa hoi baada ya mazoezi kidogo tu jana
Mzee wa Mashuti Kariakoo hadi Chamazi akiwa mazoezini jana JMK Park
Luke Littler continues his red-hot form as he wins the Austrian Open title
after beating Joe Cullen - with Premier League leader lifting his second
PDC European Tour trophy in debut year
-
The 17-year-old produced another top-drawer display as he swept past 'The
Rockstar' 8-4 in the final, hitting four 180s with a match average of just
over 102.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment