
Wauwaji; Mshambuliaji wa Swansea City, Bafetembi Gomis (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Newcastle Ligi Kuu ya England jioni ya leo. Bao lingine lilifungwa Andre Ayew kulia, mtoto wa Mwanasoka Bora wa zamani Afrika, Abedi Pele PICHA ZAIDI GONGA HAPA


.png)
0 comments:
Post a Comment